George Masaju mwanasheria mkuu
  

RAIS Dk John Magufuli jana alifanya uteuzi wake wa kwanza kwa kumteua George Masaju kuendelea tena na wadhifa wake wa Mwanasheria Mkuu wa Serikali.
Pia ameitisha Bunge la 11 ambapo wabunge watakutana mjini Dodoma kuanzia Novemba 17 hadi 19 na atapeleka jina la Waziri Mkuu ambaye