Wastara amsifia  yusufu mlela kwa utendaji wa kazi  amfananisha na sajuki kwa baadhi ya mambo

Wastara amsifia yusufu mlela kwa utendaji wa kazi amfananisha na sajuki kwa baadhi ya mambo

Wastara: Huyu Jamaa Nampenda Mfano Hakuna, Anafanana Vingi na Sajuki
Mama na mwana mama na baba nimeipenda kama ilivyo ila kiukweli huyu jamaa nampenda mfano hakuna, mpole muelewa hana makuu anao ubinadaamu hana ugomvi na mtu, mpole ajui kufoka wala kugombana akikasirika dk 2 tu anarudi kuwa normal. Sichoki kufanya nae kazi namchukulia ni mdogo wangu wa tumbo moja namfananisha vitu vingi na Sajuki si mwingine ni      Yusuph Mlela au Mlelandro.
Hayo ni maneno ya mwigizaji Wastara Juma kwenye moja ya post zake kwenye mtandao picha wa instagram mara baada ya kuweka picha hiyo hapo juu akiwa Yusuph Mlela.
Je wajua kuwa staa kwa kibongo  Diamond alikuwa uso kwa uso na watoto wengine wa zari? Tazama picha hizi

Je wajua kuwa staa kwa kibongo Diamond alikuwa uso kwa uso na watoto wengine wa zari? Tazama picha hizi

DIAMOND PLATNUMZ USO KWA USO NA WATOTO WA ZARI TAZAMA HAPA 
tazama picha upate kujua undani wa familia ya mwamuziki wa bongo flava anayetamba na wimbo wake mpya wa UTANIPENDA
Hatimaye Diamond amekutana na familia ya mpenzi wake, Zarinah hassan.
Diamond ambaye alikua nchini Uganda kwa ajili ya show ya ‘Born To Win’ amepata nafasi ya kukutana na watoto wengine watatu wa Zari.
Diamond aliweka picha akiwa na Familia ya zari na kuandika “Me and my Stars!…Basi Hapo Vikurubembe roho zinawau
                        Diamond, Tiffah na mama mzazi wa Zari.

Jamani mchungaji asweka jela mwaka 1 kwa kosa la wizi

Mchungaji kiongozi KKKT jela kwa wizi
Mchungaji kiongozi wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Usharika wa Rauya, Zawadiel Maruchu amehukumiwa kifungo cha

PICHA ZA WEMA SEPETU NA RAY ZALETA GUMZO MITANDAONI

SUPER STAR WEMA SEPETU NA RAY WATUPIA PICHA ILIYOZUA GUMZO MTANDAONI

Perfect blog







USIPITWE NA MAGAZETI YA LEO SOMA HABARI ZILIZOTIKISA UJIONEE

December 25, 2015Magazeti ya Tanzania December 25 2015 na stori zake kubwa kurasa za mwanzo na mwisho

Usikose na usipitwe na magazeti ya Leo 25 2015 nimekuwekea tena stori zote kubwa za Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye Udaku, michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu,






.
.
.
.
.
.

WAJUE WASANII WA KIKE WENYE MASHABIKI WENGI SOKONI KWA SASA

WASANII WA KIKE WENYE MASHABIKI WENGI SOKONI



Staa wa sinema za Kibongo, Jenifer Kyaka 'Odama' 

Hawa ni miongoni mwa wasanii watatu wa kike, ambao wanafanya vizuri katika tasnia ya filamu hapa nchini Tanzania kwa utengenezaji bora wa filamu hizo na zenye kuvutia mashabiki hasa katika uuzwaji wa filamu zao hii inawafanya waendelee kuwa bora kila mwaka katika soko la filamu kutokana na ubunifu na mbinu mbalimbali katika utengenezwaji wa filamu zao .

Msanii wa Filamu za Bongo, Riyama Ally

Wasanii hawa wamejizolea umahiri huo kutoka kwa mashabiki wao kwa kuwavuta kihisia kutokana na madhari wanazokuwa wakifanyia filamu zao.

Hii imedhiilika mwaka huu kwani hawana tatizo na watu kwani wao wanawaza kufanya kazi zao kiufanisi zaidi.

Msanii wa Filamu za Bongo, Shamsa Ford

Kategori

Kategori