Ajali nyingine ya ndege yatokea huko sudani

NDEGE NYINGINE YA URUSI YAANGUKA SUDAN KUSINI

Watu kadha wanahofiwa kufariki baada ya ndege iliyotengenezewa Urusi kuanguka muda mfupi baada ya kupaa kutoka uwanja wa ndege wa Juba, Sudan Kusini. Ripoti zinasema huenda watu 40 wamefariki, baadhi wakiwa watu walioangukiwa na ndege hiyo ya kubeba mizigo ardhini.

Ndege hiyo, iliyokuwa safarini kuelekea mji wa Paloch katika jimbo la Upper Nile ilianguka kwenye ukingo wa mashariki wa Mto Nile. Maafisa bado wanatafuta manusura. Msemaji wa rais wa Sudan Kusini Ateny Wek Ateny ameambia shirika la habari la Reuters kwamba mhudumu mmoja wa ndege hiyo pamoja na mtoto, ambao walikuwa kwenye ndege hiyo, wamenusurika.

Ubalozi wa Urusi nchini Uganda, ambao pia husimamia Sudan Kusini, umesema unawasiliana na maafisa wa serikali Juba kupata habari zaidi, kwa mujibu wa msemaji wake Radmir Gainanov.

Ajali hiyo imetokea siku chache tu baada ya ndege nyingine ya Urusi kuanguka eneo la Sinai, Misri Jumamosi.

Source:BBC newz

CCM kumptisha  mtoto wa   A. Kidoga kuwania ubunge  jimbo la Tanga mjini

CCM kumptisha mtoto wa A. Kidoga kuwania ubunge jimbo la Tanga mjini

CCM Yamptisha Mtoto Wa Kigoda Kugombea Ubunge Handen
Handeni. Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM Jimbo la Handeni Mjini wamempigia kura na kumchagua tena mgombea ambae alishinda awali Omari Abdallah Kigoda katika uchaguzi uliofanyika wilayani humo leo baada ya kamati kuu ya CCM Taifa kutaka urudiwe.
Akitangaza matokeo hayo Mwenyekiti aliyesimamia uchaguzi huo Dk Maua Daftari alisema
Wabunge wote waitwa na Raisi mteule  J.P.Magufuli

Wabunge wote waitwa na Raisi mteule J.P.Magufuli

Wabunge waitwa kwa Dk Magufuli
Rais mteule, Dk John Magufuli.
Dar es Salaam.Wabunge wote wateule, wametakiwa kufika Ofisi Ndogo ya Bunge Dar es Salaam, ili kushiriki hafla ya kuapishwa kwa Rais mteule, Dk John Magufuli.
Wabunge hao kutoka majimbo 259 nchini walichaguliwa katika Uchaguzi Mkuu uliofanyika Jumapili ya Oktoba 25, ambao pia ulimpa ushindi Dk John Magufuli wa CCM, dhidi ya mshindani wake wa karibu Edward Lowassa wa Chadema aliyeungwa mkono na Ukawa.
Akizungumza jijini hapa  leo, Kaimu Katibu wa Bunge, John Joel alisema wabunge hao wateule

ZIJUE SEHEMU ZINAZOMSISIMUA MWANAMKE HIZI HAPA>>>>>>>>>



Wanawake wengi japo siyo wote, hupandwa na wazimu wa kimahababa wakichezewa Matiti yao na visimi. MATITI YA MWANAMKE MARA NYINGI HUSISIMKA ILE YAKIWA YANATOMASWA VIZURI NA KWA UPENDO KWA KUTUMIA MIKONO,LIPS ZA MDOMO NA ULIMI KUPEKECHA KUPEKECHA NCHA ZA CHUCHU NA KUZIMUNG'UNYA KWA MFANO WA MTU ANAYEMUNG'UNYA PIPI HIVI NA WAZIMU UKIANZA KUPANDA NCHA ZA CHUCHU ZINA TABIA YA KUDINDA NA KUWA NGUMU NA KUFANYA MATITI YAWE KAMA YAMESIMAMA KAMA YA MTOTO MWENYE BIKIRA YAKE,HALI HIYO YA MATITI KUSIMAMA NA KUCHOMOZA HUJITOKEZ KWENYE UKE.

AMBAPO MASHAVU YA UKE

JE UNATATIZO LA NGUVU ZA KIUME?>>> FAHAMU VYAKULA VINAVYO ONGEZA NGUVU ZA KIUME WAKATI WATENDO LA NDOA

 JE UNATATIZO LA NGUVU ZA KIUME?>>> FAHAMU VYAKULA VINAVYO ONGEZA NGUVU ZA KIUME WAKATI WATENDO LA NDOA
 Tatizo  upungufu wa nguvu za kiume ni sugu na limekuwa  ni shida miongongi mwa wanaume wengi. japo kuwa kuna baadhi ya vijana/wanaume hawajitokezi hadharani ila wamekuwa  wakiuliza maswali mengi sana kwa siri. ikumbukwe kuwa ndoa nying zimevunjika na zingine kupoteza mahusiano ya karibu baina ya wapenzi na pia kuongezeka kwa tatizo la USALITI KATIKA MAPENZI.
   wengi wamekuwa wakijiuliza kuwa tatizo hili husababishwa na nini?hapa nitataja kwa ufupi:

MHUBIRI MAARUFU DUNIA TB JOSHUA KUTOKA NIGERIA AWASILI TANZANIA>> KUSHUHUDIA KUAPISHWA KWA MH. JOHN POMBE MAGUFULI

Mhubiri maarufu duniani  TB Joshua wa kanisa la Church of All Nations nchini Nigeria  ametua jijini Dar es salaam tayari kwa kushuhudia kuapishwa kwa Rais wa Awamu ya Tano Dkt. John Pombe Magufuli siku ya Alhamisi.Novemba 5,2015
Mara tu baada ya kutua uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, TB Joshua alikwenda

Kategori

Kategori