ZIJUE SABABU 7 ZA USALITI KATIKA MAPENZI (NDOA) ILI TUPUUNGUZE USALITI

Tatizo la usaliti limekuwa ni kubwa sana katika mapenzi. wengi wamekuwa wakilalamika kuhisi kusalitiwa na wapenzi wao.zamani wanaume ndio walikuwa wakiongiza katika usaliti kwa wake zao ,lakini utafiti wa hivi karibuni unaonesha kuwa  nao wanawake wamekuwa wasaliti katika ndoa zao Na hii ndio sababu iliyonifanya niandike sababu za usaliti katika mapenzi

AFISA WA CHUO ASIMAMISHWA KAZI>>Kofia ya Mugabe yamponza afisa wa chuo




Afisa mmoja katika Chuo Kikuu cha Zimbabwe amesimamishwa kazi baada yake kudaiwa kumpa Rais Robert Mugabe kofia isiyomtosha vyema wakati wa sherehe ya kufuzu kwa wanafunzi.
Msajili msaidizi Ngaatendwe Takawira aliwaaibisha wasimamizi wa chuo kwa kumpa kiongozi huyo mwenye umri wa miaka 92 kofia ndogo sana, barua yake ya kusimamishwa kazi inasema,

Kategori

Kategori