Kazi ya kwanza ya Mbunge Prof. Jay baada ya kuapishwa

Kazi ya kwanza ya Mbunge Prof. Jay baada ya kuapishwa

Kazi ya kwanza ya Mbunge Prof. Jay ndani ya siku 20 baada ya kuapishwa Bungeni Dodoma..


Professor Jay ni mwana Hiphop kitambo sana hapa Tanzania, lakini jina lake lina uzito wake wa nguvu kabisa kiasi cha kwamba watoto, vijana, wazee na watu wazima walilifahamu jina lake… lakini 2015 inamalizika huku akiwa na kofia nyingine kichwani, ni kofia ya Ubunge wa Jimbo la Mikumi Morogoro a.k.a Mji kasoro bahari !!
IMG-20151208-WA0024
Prof. Jay kaanza kazi na kathibitisha kwamba

Kategori

Kategori