JE WAMFAHAMU STAA WA BONGO MOVIE AYEWEKA SIASA KANDO NA KUJIKITA NA KAZII YA SANAAA TUU? NAKUJUZA TUU NI MDADA MREMBO ROZE NDAUKA

Huyu ndooo msaniii wa kike pekee aliye sma hatapenda kushiriki masuala ya siasa ingawa haki yake ya kupiga kura ataitumia ipasavyo. lengo lake ni kutotaka kuwachanganya mashabiki wake. hata hivyo alisema kuwa kwa wasanii wanaofanya hivyo sio vibaya. ALICHO AMUA NI MTAZAMO WAKE KWA MASHABIKI.





SOURCE GLOBAL PUBLISHER


EmoticonEmoticon