JE WAMFAHAMU STAA WA BONGO MOVIE AYEWEKA SIASA KANDO NA KUJIKITA NA KAZII YA SANAAA TUU? NAKUJUZA TUU NI MDADA MREMBO ROZE NDAUKA

Huyu ndooo msaniii wa kike pekee aliye sma hatapenda kushiriki masuala ya siasa ingawa haki yake ya kupiga kura ataitumia ipasavyo. lengo lake ni kutotaka kuwachanganya mashabiki wake. hata hivyo alisema kuwa kwa wasanii wanaofanya hivyo sio vibaya. ALICHO AMUA NI MTAZAMO WAKE KWA MASHABIKI.

SUGU AFUNGA KAMPENI KATA YA IWAMBI KWA KISHINDO ,AIPEPERUSHA VEMA BENDERA YA UKAWA KUPITIA CHAMA CHACHADEMA



Kilichojili magazetini leo soma vichwa vya habari na uwahi ukapate gazetl lako makini. HEBU CHECK PICHA MBALIMBALI :BONYEZA HAPA NAWE UONE IPI imekushika>>>>>>>>>mapenzi>>>>> siasa

haya sasa kazi ni kwako magazeti hayooooo?>>>..!!!1












WIKI HII ILIKUWA NI NOMAAA SANA !!!! VITUKO VYA SIASA ,MAPENZI NA MIKWARA MIKWARAHEBU CHECK PICHA MBALIMBALI :BONYEZA HAPA NAWE UONE IPI ILIKUBAMBA>>>>>>>>>INAKUBAMBA>>>>> ITAKUKUBAMBA!!



HEBU CHECK PICHA MBALIMBALI :BONYEZA HAPA NAWE UONE IPI ILIKUBAMBA>>>>>>>>>INAKUBAMBA>>>>> ITAKUKUBAMBA!!



















 


Madhumuni ya picha hizi ni kukupa taarifa kusumu hot news of the wiki .it is possible kwamba ulishaziona ila kama hukupata kuziona ni wakati wako nawe wa kushare hizi picha na marafic zako
sisi kama perfect team tumekufikia hapooo ulipo kwenye simu yako ya kinganjani.

Kategori

Kategori