Showing posts with label DINI. Show all posts
Showing posts with label DINI. Show all posts
Papa Francis  kutua kenya na ujumbe wa amani

Papa Francis kutua kenya na ujumbe wa amani

Papa kutua Kenya Kesho.




Nairobi, Kenya. Kiongozi wa Kanisa Katoliki Papa Francis amesema kwamba kesho akiwa Kenya atatoa ujumbe wa amani.
Kiongozi huyo Katika taarifa aliyoituma juzi, alitoa wito kwa waandaaji wa ziara yake wakumbuke kuomba ili

MHUBIRI MAARUFU DUNIA TB JOSHUA KUTOKA NIGERIA AWASILI TANZANIA>> KUSHUHUDIA KUAPISHWA KWA MH. JOHN POMBE MAGUFULI

Mhubiri maarufu duniani  TB Joshua wa kanisa la Church of All Nations nchini Nigeria  ametua jijini Dar es salaam tayari kwa kushuhudia kuapishwa kwa Rais wa Awamu ya Tano Dkt. John Pombe Magufuli siku ya Alhamisi.Novemba 5,2015
Mara tu baada ya kutua uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, TB Joshua alikwenda

Kategori

Kategori