uchaguzi mkuu wa raisi 2015 umenifikisha hadi mbeya


lowasa akiwasalimia wakazi wa mbeya mjini



LOWASA AKIWA KWENYE KAMPENI MBEYA MJINI
KIELELEZO CHA MBEYA (ROUND ABOUT)
round about mbeya

JIFUNZE JINSI YA KUPANGILIA MAVAZI WEWE NA MPENZI WAKO!

GARI LA MAFUTA LATEKETEA KWA MOTO ENEO LA MAHENJE – MBOZI :




Habari za mashuda zinasema moto huo umetokea majira ya  saa kumi jioni , na chanzo halisi mpaka sasa hakijajulikana .ingawa jitihada za dereva wa gari hilio za kujaribu kuuzima moto huo kwa kutumia mtungi wa gesi (fire extinguisher) hazikuzaa matunda kutokana na kuzidiwa kwa moto huo.
KICHWA CHA GARLI KIKIKETEA KWA MOTO


Kategori

Kategori