SUGU AFUNGA KAMPENI KATA YA IWAMBI KWA KISHINDO ,AIPEPERUSHA VEMA BENDERA YA UKAWA KUPITIA CHAMA CHACHADEMA



Akiongea na wakazi wa Iwambi kuwa wampe ridhaa ya
 kuongoza jimbo hilo kwa kuwa ewezo huo anao


Na aliwata wananchi  wamchague kwa kuwa 
ahadi alizo ahidi mwaka 2010 amezikamlisha
 kwa kuleta chacu ya mabadiliko katika secta
 ya elimu ,na afya na hasa kuwatetea wananchi 
katika shughuli zao za kila siku .aliwataja
 MACHINGA NA MAMANTIILE kuwa
  kwa utaratibu aliouweka wameweza 
kufanya biashara zao kwa uhuru na amani.
 Na mwisho aliwaomba kumchagua ndugu 
EDWARD  LOWASA  Kuwa raisi wa jamhuri 
ya muungano wa Tanzania. Pia alisistiza
 kumchagua diwani wa kat a hiyo NDUGU HAMPHREY 

KUONA   PICHA  BONYEZA HAPA

BAADHI YA WATU WAKIWA  WANAMSIKLIZA KWA MBALI KUTOKANA NA WATU KUWA WENGI ENEO LA TUKIO


Gari ya mheshimiwa  SUGU
PICHA BONYEZA HAPA CHINI >>>>>>>



EmoticonEmoticon