Salamu zisizokuwa za kawaida nchini Cameroon watu wanapost picha zao

Tangu waziri wa michezo nchini Cameroon Pierre Ismael Bidoung Mpkatt ainame wakati akimsalimia rais wa nchi hiyo Paul Biya, picha hizo zilisambaa mitandaoni.
Watu nchini Cameroon wamekuwa wakiiga picha hizo na hata kuifanyia mabadiliko





EmoticonEmoticon