MWANAUME AOA WANAWAKE WANNE KWA SIKU MOJA
TCU YAFUNGIA VYUO VINGINE KUDAHILI.
TCU YAFUNGIA VYUO VINGINE KUDAHILI.
BAADA ya wiki jana kutangaza orodha ya vyuo ambavyo havitaruhusiwa kudahili Wanafunzi Kwa Mwaka wa Masomo 2016/17, leo Tume hiyo imetoa orodha nyingine ya vyuo ambavyo vimefungiwa kufanya udahili kutokana na sababu mbalimbali. Vyuo vilivyozuiwa kudahili ni pamoja
na;
1. Katavi University of Agriculture - Kozi zote.
2. Ekernforde Tanga University - Kozi zote.
3. Hubert Kairuki Memorial University - Kozi ya udaktari.
4. Muslim University of Morogoro - Kozi ya uandishi wa habari na mawasiliano ya umma.
5. St. Joseph University In Tanzania (St.Mark's University College) - Kozi zote.
6. United African University of Tanzania - Kozi zote.
7. Tanzania International University - Kozi zote.
8. Kampala International University, Dar es Salaam College - Kozi ya Sayansi ya Kompyuta.
9. St. Joseph University College of Management and Commerce - Kozi zote.
10. Tumaini University, Dar es Salaam College - Kozi ya uandishi wa habari na mawasiliano ya umma.
12. Stefano Moshi Memorial University College - Kozi zote.
13. Teofilo Kisanji University, Tabora campus - Kozi zote.
14. University of Arusha, Musoma campus - Kozi zote.
15. Mount Meru University, Mwanza campus - Kozi zote.
16. University of Mbeya - Kozi zote.
17. Mzumbe University, Mwanza campus - Kozi zote.
18. Stella Maris Mtwara University College - Kozi zote.
19. ArchBishop James University College - Kozi zote.
20. Mwalimu Julius K. Nyerere University of Science and Technology - Kozi zote.
21. Josiah Kibira University College - Kozi zote.
22. College of Business Education, Mwanza campus - Kozi zote za shahada na shahada na Shahada ya Uzamili.
Kwa taarifa zaidi tembelea http://www.tcu.go.tz
BAADA ya wiki jana kutangaza orodha ya vyuo ambavyo havitaruhusiwa kudahili Wanafunzi Kwa Mwaka wa Masomo 2016/17, leo Tume hiyo imetoa orodha nyingine ya vyuo ambavyo vimefungiwa kufanya udahili kutokana na sababu mbalimbali. Vyuo vilivyozuiwa kudahili ni pamoja
na;
1. Katavi University of Agriculture - Kozi zote.
2. Ekernforde Tanga University - Kozi zote.
3. Hubert Kairuki Memorial University - Kozi ya udaktari.
4. Muslim University of Morogoro - Kozi ya uandishi wa habari na mawasiliano ya umma.
5. St. Joseph University In Tanzania (St.Mark's University College) - Kozi zote.
6. United African University of Tanzania - Kozi zote.
7. Tanzania International University - Kozi zote.
8. Kampala International University, Dar es Salaam College - Kozi ya Sayansi ya Kompyuta.
9. St. Joseph University College of Management and Commerce - Kozi zote.
10. Tumaini University, Dar es Salaam College - Kozi ya uandishi wa habari na mawasiliano ya umma.
12. Stefano Moshi Memorial University College - Kozi zote.
13. Teofilo Kisanji University, Tabora campus - Kozi zote.
14. University of Arusha, Musoma campus - Kozi zote.
15. Mount Meru University, Mwanza campus - Kozi zote.
16. University of Mbeya - Kozi zote.
17. Mzumbe University, Mwanza campus - Kozi zote.
18. Stella Maris Mtwara University College - Kozi zote.
19. ArchBishop James University College - Kozi zote.
20. Mwalimu Julius K. Nyerere University of Science and Technology - Kozi zote.
21. Josiah Kibira University College - Kozi zote.
22. College of Business Education, Mwanza campus - Kozi zote za shahada na shahada na Shahada ya Uzamili.
Kwa taarifa zaidi tembelea http://www.tcu.go.tz
Subscribe to:
Posts (Atom)